Redknapp agoma kumuuza Bale
Thursday, 17 May 2012 09:33   

Katika vyombo vya habari kutoka nchini Hispania vimependekeza kuwa zitolewe dola milioni 32 kwa ajili ya Garreth Bale.
Lakini Redknapp amesema kuwa, klabu yake haina mpango wa kuumuza Balle 22, katika majira ya kiangazi.
Bosi huyo wa Spurs alisema kuwa, hana lolote ninalojua kuhusu habari ya Bale kwenda Barcelona.

AddThis Social Bookmark Button

 

Tuma maoni

Maoni yenye kukera, kutukana na kuvunja sheria za nchi yatafutwa

:D:lol::-);-)8):-|:-*:oops::sad::cry::o:-?:-x:eek::zzz:P:roll::sigh:
Bold Italic Underlined List Quote