| Manchester Utd waleeeee! | |
|
|
Magoli ya dakika za lala salama ya Antonio Valencia (dakika ya 81) na Ashley Young (dakika ya 86 ) aliyeingia badala ya Paul Scholes yametosha kuwaweka juu ya msimamo wa ligi kuu Uingereza kwa pointi 5 mbele ya wapinzani wao wakuu Manchester City. Blackburn wakiwa na kiburi cha kuwa wako uwanja wa nyumbani na pia wakiwa na kumbukumbu ya kumfunga Man United magoli 3-2 katika mechi ya awali pale Old Trafford w aliweza kulinda lango lao vema wakisaidiwa na golikipa wao Robinson ambaye aliokoa michomo mingi langoni kwake. Sasa Blackburn wameshuka hadi kundi la timu tatu za mwisho huku kila timu ikiwa imebakiza michezo saba. |
Sasa Mancherster City watatakiwa watafute pointi 5 ili kuwakuta Manchester United!

Maoni
2012-04-0404:24:27 Man u ubingwa lazima simba tunafanyia kazi mambo ya ligi hayo heshima nyumbani bwana
2012-04-0404:29:00 Spoti starehe starehe kweli lingekuwa linatoka kila siku ingekuwa zaidi ya starehe big up watanzania tupo juuuuuuuuuuuuuu u