Rosicky asaini mkataba Arsenal
Monday, 12 March 2012 15:00   

Mchezaji wa klabu ya Arsenal na kapteni wa timu ya taifa ya Jamhuri ya CZech amesaini mkataba mpya na klabu yake hiyo aliyodumu nayo tangu mwaka 2006 akitokea Borussia Dortmund ya Ujerumani.

Hata hivyo maafisa wa Arsenal hawajasema ni mkataba wa muda gani waliompa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31 na ambaye sababu ya Arsenal kumpa mkataba mpya ni kutokana na kiwango chake kuzidi kuwa kizuri zaidi kwa siku z hivi karibuni.

Rosicky amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara lakini sasa amerejea na amekuwa akipangwa katika mechi nyingi. Amefanikiwa kufunga magoli mawili katika mechi 3 zilizopita dhidi ya Tottenham, Liverpool na AC Milan.

 

AddThis Social Bookmark Button

 

Maoni 

  1. #1 Arsenal2012
    2012-03-1210:19:52 Tushinden mechi ya leo tuwe na uhakika wa kucheza UEFA mwakani vinginevyo mwakani tutalia hakyanani!!!!!! !
  2. #2 japhet
    2012-03-3101:57:59 Jamani napenda,naipend a arsnal na pia napenda leo ishinde

Tuma maoni

Maoni yenye kukera, kutukana na kuvunja sheria za nchi yatafutwa

:D:lol::-);-)8):-|:-*:oops::sad::cry::o:-?:-x:eek::zzz:P:roll::sigh:
Bold Italic Underlined List Quote