|
Thursday, 29 December 2011 06:18 |
|

Neymar mchezaji wa timu ya SantosĀ ya Brazil |
|
|
Thursday, 29 December 2011 06:16 |
Na Shaban Mbegu
HATIMAYE mambo aliyoyaibua Kocha Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic kuhusu hali ya klabu hiyo sasa yamefika mbali baada ya wanachama ya klabu hiyo kutaka viongozi waliopo madarakani kujizulu. Hivi karibuni Papic aliitisha mkutano na waandishi wa habari na |
|
Read more...
|
|
Thursday, 29 December 2011 06:14 |
Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Simba, Cirkovic Milovan sasa yuko imara baada ya mambo yake kunyooka Msimbazi.Kocha huyo kutoka Serbia sasa amepata kibali cha kufanyia kazi nchini hali ambayo imemtoa hofu. Idara ya Uhamiaji imetoa kibali rasmi cha kufanya kazi kwa |
|
Read more...
|
|
|
Chombo, Mwaipopo wapigwa stop Azam |
|
Thursday, 29 December 2011 06:15 |
Na Mwandishi Wetu
KLABU ya Azam ya Dar es Salaam imewasimamisha wachezaji wake wawili hodari kwa madai ya utovu wa nidhamu.Wachezaji waliosimamishwa kwa vipindi tofauti ni Ramadhan Chombo "Redondo" na Ibrahim Mwaipopo. Habari zilizopatikana kutoka ndani ya |
|
Read more...
|
|
Thursday, 29 December 2011 06:13 |
LONDON, England
VITA kali sasa imezidi katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya soka England, ligi hiyo ikiwa imefikia nusu.Manchester City na majirani zake, United wanakabana koo kileleni mwa ligi hiyo wakiwa wamefungana kwa pointi 45 kila mmoja. Lakini, Man City inaongoza |
|
Read more...
|
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
|
Page 1 of 208 |