Home
Habari za Michezo
.
Thursday, 29 December 2011 06:18

Neymar mchezaji wa timu ya SantosĀ  ya Brazil

 
Yanga kitimtim
Thursday, 29 December 2011 06:16
Na Shaban Mbegu

HATIMAYE mambo aliyoyaibua Kocha Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic kuhusu hali ya klabu hiyo sasa yamefika mbali baada ya wanachama ya klabu hiyo kutaka viongozi waliopo madarakani kujizulu. Hivi karibuni Papic aliitisha mkutano na waandishi wa habari na
Read more...
 
Milovan sasa imara Simba
Thursday, 29 December 2011 06:14

Na Mwandishi Wetu

KOCHA Mkuu wa Simba, Cirkovic Milovan sasa yuko imara baada ya mambo yake kunyooka Msimbazi.Kocha huyo kutoka Serbia sasa amepata kibali cha kufanyia kazi nchini hali ambayo imemtoa hofu. Idara ya Uhamiaji imetoa kibali rasmi cha kufanya kazi kwa
Read more...
 
Chombo, Mwaipopo wapigwa stop Azam
Thursday, 29 December 2011 06:15

Na Mwandishi Wetu

KLABU ya Azam ya Dar es Salaam imewasimamisha wachezaji wake wawili hodari kwa madai ya utovu wa nidhamu.Wachezaji waliosimamishwa kwa vipindi tofauti ni Ramadhan Chombo "Redondo" na Ibrahim Mwaipopo. Habari zilizopatikana kutoka ndani ya
Read more...
 
Ni vita Ligi Kuu England
Thursday, 29 December 2011 06:13
LONDON, England

VITA kali sasa imezidi katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya soka England, ligi hiyo ikiwa imefikia nusu.Manchester City na majirani zake, United wanakabana koo kileleni mwa ligi hiyo wakiwa wamefungana kwa pointi 45 kila mmoja. Lakini, Man City inaongoza
Read more...
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Page 1 of 208

Swali la Leo

Tanzania kushuka viwango vya Soka FIFA, nini shida?
 

Who's Online

We have 29 guests online